Letra de 'Utanipenda' de Diamond Platnumz

Se você tem procurado há muito tempo pela letra da música Utanipenda de Diamond Platnumz, comece a aquecer a voz, porque você não vai conseguir parar de cantá-la.

Tanta lala la
Ooh la la la la la
Mmh

Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
Radio nyimbo wamezima TV ndio hataree
Umeneja umebaki jina
Hanitaki hata Tale
Oooh wale shabiki zangu
Walionisifu kwa maneno matamu

Leo maadui zangu
Ni mitusi tu kwa Instagram
Kimwanaa si dada angu
Eti nae hanifahamu
Hata Harmonize nikimpigia
Ananifokea kama Sallam

Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga

Ooh nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sanaa
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Aaah

Ndio adui mkubwa wa kesho
La la la la la la
Au je utanipenda gaa?
Aa La la la la la
Au nawe utanimwagaa?
Aa La la la la la
Ati utanipenda gaa ooh
Oh
Oh

Bado naiwaza sana
Vile tunzo mashauzi airport
Je itapofika tamati
Utadiriki hata japo kunipost
Pindi show zimekwamaa
Na nikipata sijahis ni mikosi

Oooh jahazi limezama
Mola ninusulu baba
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa Dangote
Anakwenda na mamaangu
Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
Usilie Sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena mambo yanyooke

Ey
Na magazeti ya nyumbani
Kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga (Oh yeh yeh yeh)
Navyo nilivyo mnyonge
Tabia ya kuwajibu sinaga
Kama naiona michambo ya madem wa zamani

Yani He he he
La la la la la (eh)
(Ola lala la lala)
La la la la la
(Ooh ola la la la)
La la la la la ala
Eeeh

Ola la la lilaa ooh
I say
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa dangote
Ana kwenda na mama angu
Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena
Mambo yanyooke (he he heee)

Eiiii
Ola lala lilaa
Oooh baby
Oooooh

Nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sana
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Ndio adui mkubwa wa kesho

Play Escuchar "Utanipenda" gratis en Amazon Unlimited

Existem muitos motivos para querer conhecer a letra de Utanipenda de Diamond Platnumz.

Saber o que diz a letra de Utanipenda nos permite colocar mais sentimento na interpretação.

Um motivo muito comum para procurar a letra de Utanipenda é querer conhecê-la bem porque nos faz pensar em uma pessoa ou situação especial.

Caso a sua busca pela letra da música Utanipenda de Diamond Platnumz seja porque ela faz você pensar em alguém em particular, sugerimos que você a dedique de alguma forma, por exemplo, enviando o link deste site, com certeza entenderá a indireta.

Você está discutindo com seu parceiro(a) porque entendem coisas diferentes ao ouvir Utanipenda? Ter à mão a letra da música Utanipenda de Diamond Platnumz pode resolver muitas disputas, e esperamos que assim seja.

Aprenda as letras das músicas que você gosta, como Utanipenda de Diamond Platnumz, seja para cantá-las no chuveiro, fazer seus covers, dedicá-las a alguém ou ganhar uma aposta.